logo

WAZIRI DKT.HOMERA KUWASILISHA BAJETI YA KATIBA NA SHERIA 2026/27 BUNGENI LEO

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, tayari amewasili Bungeni kwa ajili ya kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ya 2026/2027.

Hotuba hii inawasilishwa leo tarehe 24 Aprili, 2026.

‎.

‎Usikose kufuatilia matangazo ya Bunge leo ili kuweza kufahamu Mpango wa Utekelezaji wa Wizara ya Katiba na Sheria.

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn