logo

MCHEZAJI KARIM BENZEMA APANGA KUONDOKA REAL MADRID HIVI KARIBUNI

MCHEZAJI Wa Real Madrid Karim Benzema Inaripotiwa ya Kwamba ameiarifu Klabu yake ya Real Madrid kuwa yupo tayari kuondoka na kutimkia Saudi Arabia ambapo amepewa ofa nono yenye mshahara wa takribani Bilioni 250 kwa mwaka ,kuishi katika Jiji apendalo,kumiliki asilimia 100 wa haki ya picha,ubalozi wa Saudi Arabia.

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn