TEMESA YASAINI MKATABA NA SONGORO MARINE
SERIKALI kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA), leo Tarehe 23 Aprili, 2023 imesaini Mkataba na Kampuni ya Songoro Marine wa ujenzi wa kivuko kipya kitakachogharimu shilingi Bilioni 3.8 mpaka kukamilika kwa ajili ya kutoa huduma katika maeneo ya Buyagu na Mbalika Wilaya za Sengerema na Misungwi Mkoani Mwanza.
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

