Top news
KUNDO ATEMBELEA MAONESHO YA WIKI YA UBUNIFU 2023
NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi.Kundo Mathew Leo Aprili 27, 2023 Ametembelea maonesho ya Wiki ya Ubunifu yanayoendelea katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
.
Katika Maonesho Hayo, Kundo Ameonesha kufurahishwa Na Bunifu Tofauti zilizotengenezwa na Taasisi/Kampuni Mbalimbali ambazo zimeletwa Kwenye Maonesho Hayo.
.
Maonesho Hayo Kilele chake inatarajiwa Kesho April 28,2023 Huku Wizara Ya Elimu, Sayansi Na Teknolojia ikitoa Wito Kwa Wananchi Wote Kujitokeza Kwa Wingi.
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

