DORIS MOLLEL FOUNDATION YAKABIDHI VIFAA TIBA KWA AJILI YA WATOTO NJITI HOSPITALI YA WILAYA MPWAPWA JIJINI DODOMA
Taasisi ya Doris Mollel Foundation jana April 14,2024 imekabidhi vifaa tiba kwa ajili ya kuboresha huduma kwa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti) katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, Dodoma.
Vifaa hivyo vimepokelewa na Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo ambaye ameishukuru Taasisi hiyo kwa kusaidia kuboresha huduma hizo hospitalini hapo.
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

