logo

ZAINAB AFANYA UKAGUZI WA MIRADI PANGANI

MKUU Wa Wilaya Ya Pangani Mhe.Zainab Abdallah (@zainababdallah93) Leo Mei 4,2023 Amefanya Ukaguzi wa miradi Mbalimbali itakayotembelewa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Katika Wilaya Hiyo.

.

Zainab Anawakaribisha wana Pangani na majirani kuungana nao siku ya Jumamosi 10/06/2023 katika Mapokezi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Katika Wilaya Hiyo.

.

"Historia inaenda kuandikwa Pangani inshaaAllah.Tumejipanga na tupo tayari🙏" Amesema Zainab.

@zainababdallah93

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn