logo

TANZANIA NA SAUDI ARABIA KUSHIRIKIANA KUDHIBITI UHALIFU MTANDAONI

Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na Serikali ya Saudi Arabia katika masuala yanayohusu uhalifu kwa ujumla ikiwemo uhalifu wa mitandaoni na jinsi ya kukabiliana na majanga mbalimbali ikiwemo majanga ya moto,ajali za barabarani na majini.

.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni baada ya kusaini hati ya makubaliano kwa upande wa Serikali ya Tanzania huku kwa upande wa Serikali ya Saudia hati hiyo ikisainiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani,Mwanamfalme Abdul Aziz Bin Saud Al Saudi.

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn