RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar tarehe 04 Machi, 2024.
.
Katika ufunguzi huo, Rais Samia alikuwa
ameambatana na viongozi mbalimbali na wageni waalikwa kutoka mataifa mbalimbali ambapo miongoni mwao ni pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Patricia Scotland.
#JordanMediaupdates
Frank Jordan
12345
123
Tranding News
Newsletter
Subscribe to our newsletter to get the latest news

