logo

SIMBA SC YALAMBA MILIONI 5 BAADA YA USHINDI

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson @tulia.ackson akimkabidhi nahodha wa Timu ya Simba John Bocco kiasi cha shilingi milioni 5 ambazo ni ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa timu ya Simba kwa kila goli itakalofunga katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika.

Katika Mchezo uliochezwa leo Aprili 22, 2023 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa timu ya Simba imeibuka na ushindi wa Goli 1 kwa 0 dhidi ya timu ya Wydad kutoka nchini Morocco.

#JordanMediaupdates

Frank Jordan
12345 123
Follow Us
logo

© 2023 Jordan Media. All Rights Reserved. Designed by Lylical Popcorn